Showing posts with label ajali. Show all posts
Showing posts with label ajali. Show all posts
TAARIFA KAMILI KUHUSU KITUO CHA MABASI KILICHOLIPULIWA NIGERIA

TAARIFA KAMILI KUHUSU KITUO CHA MABASI KILICHOLIPULIWA NIGERIA



Ramani ya Nigeria

Milipuko miwili imetokea katika kituo cha mabasi katika vitongoji vya mji mkuu wa Nigeria, Abuja, na kuna taarifa ya watu wengi kujeruhiwa kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo.

Mwandishi wa BBC, nchini Nigeria, Haruna Tangaza anasema milipuko hiyo ilitokea wakati abiria wakiwa katika harakati za kupanda mabasi nateksi wakienda maofisini katikati ya mji wa Abuja.

Taarifa zinazohusiana

Ajali Africa