Showing posts with label wasanii. Show all posts
Showing posts with label wasanii. Show all posts

WEMA SEPETU Awachefua Mashabiki Wake..Baadhi Waamua Kumtolea Uvivu kwa Udhalilishaji Anaojitakia Mwenyewe



Wema Sepetu unawaumiza mashabiki wako.....najua hutapenda kuona maoni ya namna hii ila ni muhimu sana uone upande huu maana huo ndo ukweli halisi wa mashabiki wako hivi sasa. Hali si nzuri watu wako njia panda, umewachanganya...kama kweli unajali, wasaidie kwa kufanya mema. Ni wewe tu ndo unaweza kuondoa udhalilishaji unaoendelea si yeyote mwingine. @martinkadindasamahan naomba umzabe kofi moja la nguvu akili irudi ajue yeye ni nani anapaswa kufanya nini na watu wake wategemee nini kutoka kwake. How can we be Wema wkt yeye hayafanyi hayo mema??? We want to see more pics of #BeWemaFanyaWema not those stupid pictures zinazozunguka.... u

Picha: Diamond amfanyia shopping mwanaye mtarajiwa Uingereza

Diamond Platnumz anajivunia kuwa baba mtarajiwa, ndio maana ameanza mapema kumuandalia mazingira mazuri mwanaye mtarajiwa kwa kumnunulia vitu mbalimbali na kushare na followers wake wa kwenye mitandao ya kijamii.
“Anything for my little angel…” ndio maneno aliyoandika kwenye picha hii.
Muimbaji huyo wa ‘Nasema Nawe’ amabye weekend iliyopita alikuwa na show jijini London, ameshare picha akifanya shopping ya vifaa vya mtoto wanayemtarajia kumpata na Zari The Bosslady.

Shilole Ajitetea...Adai Amesikitishwa na Mtu Aliyempiga Picha Huku Maziwa Yake Yakining'inia NJE


Baada ya picha chafu za Shilole kusambaa mtandaoni hadi kupelekea BASATA kumuandikia barua ya onyo, muimbaji huyo wa ‘Nakomaa na Jiji’ amevunja ukimya.

Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema.

Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kuwa nguo mpya aliyoivaa siku hiyo ndio ilimponza kwasababu hakuwa ameifanyia majaribio ya kutumbuiza akiwa ameivaa.

MAKALIO YANGU YANANITESA WANAUME WANANISUMBUA SANA".......AUNT LULU



Mwigizaji Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kioja cha aina yake baada ya kuibuka na kusema kuwa makalio yake yanamtesa akidai anasumbuliwa sana na wanaume wanaovutiwa nayo faragha. 
DIAMOND ASEMA ALI KIBA ANAKULA MAKOMBO YAKE AMABYE NI JOKATE!

DIAMOND ASEMA ALI KIBA ANAKULA MAKOMBO YAKE AMABYE NI JOKATE!

Shani Ramadhan na Chande Abdallah
 DONGO! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amemuita mpenzi wake wa zamani Jokate Mwegelo kuwa ni makombo na kudai kama zilipendwa huyo anatembea na hasimu wake Ali Kiba, hakuna jipya kwani anakula makombo, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili.

Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
 Diamond ametoa kauli hiyo Jumatano iliyopita wakati mwanahabari wetu alipotaka kujua anajisikiaje kuona wapenzi wake wa zamani Jokate na Wema Sepetu ‘Madam’ wanamuunga mkono Ali Kiba.

AGNESS MASOGANGE APATA BWANA MPYA DUBAI USHAHIDI HUU HAPA.

It looks like Agnes Masogange has Acquired Herself New Arab Boyfriend From Dubai, she shared these photos of herself enjoying Dubai!

BASI UNAAMBIWA HAWA NDIO WASANII WENYE PESA NYINGI ZAIDI HAPA TANZANIA...!HII NI KWA MUJIBU WA TOVUTI ZA KENYA!

When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but you’d never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the money in truck loads and they don’t spend it on bling only, they invest their money. Sylvia Ambani and Herieth Makwetta looked at some of the richest acts in Tanzania.

1. NASEEB ABDUL (DIAMOND)

He stayed in the shadows for long looking for a break but now that the limelight has been trained on him, he has proved that he belongs at the top of the music charts. He finally made a debut in 2009 with his hit song “Kamwambie”.

He is one of the most expensive musicians not just in Tanzania but the region and this does not seem to put promoters off as he is on the stage on a weekly basis. Want him for a show, you will have to pay him $4000 (Sh350,000). And that’s after a bargain.

UMEKIONA ALICHOPOST ZARI BAADA YA KUTUPIA PICHA AKIWA NA DIAMOND KITANDANI

dangote
YABAINIKA CHANZO CHA ZARI KUMPENDA DIAMOND HIKI HAPA! SOMA HAPA

YABAINIKA CHANZO CHA ZARI KUMPENDA DIAMOND HIKI HAPA! SOMA HAPA

Kumbe! Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha.

Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’
 Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu linapokuja suala la kuona fursa na kuzifanyia kazi.
Mama Atupa kichanga......Alikiweka Kwenye Begi Kisha Kukitelekeza Shambani...Kisa Ugomvi wa Mapenzi!

Mama Atupa kichanga......Alikiweka Kwenye Begi Kisha Kukitelekeza Shambani...Kisa Ugomvi wa Mapenzi!

Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua kisha kukiweka kichanga kwenye begi na kukitupa shambani, kisa kikielezwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi na mwanaume aliyempa ujauzito.
Mama anadaiwa kutupa kichanga hicho akijaribu kuangalia huku na kule kama kuna mtu anamuona alifahamika kwa jina la mama Janeth.
Mmoja wa mashuhuda akizungumza na gazeti hili, alisema kichanga hicho kilikutwa na bibi  anayejulikana kwa jina la mama Joyce katika shamba lake lililopo eneo la Moa, Kimara-Suka baada ya kubanwa sana mama Janeth alikiri kuwa ndiye mwenye kichanga hicho.

PACHO MWAMBA AYAANIKA MAISHA YA WEMA LIVE


Mwanamuziki wa band ya Fm Academia Patcho Mwamba ambae pia ni muigizaji wa filamu, amejibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"

HII NDIO MOVIE Y WA NIGERIA YENYE MAPENZI AMBAYO HUWEZI KUKAA NA KUIANGALIA NA WATU MNAOHESHIMIANA


WEMA SEPETU SASA AANZA KUMNANGA OMMY DIMPOZI, CHEKI HII HAPA


Wakati mwanamziki wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz akiendelea kupepesa macho na kutikisa masikio kukanusha kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na mwingizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu ukaribu wao bado unatia mashaka na kuendeleza sintofahamu miongoni mwa mashabiki na wapambe wao.
wema na ommy
Japo kuwa Ommy alielezakuwa yeye na Wema ni marafiki toka kitambo kabla hata ya wema kuwa na mahusiano na mwanamziki Diamond, lakini hii imezidiii.

Mbali na kuonekana wawili hawa kuwa pamoja sehemu mablimbali za starehe toka Ommy atoke Marekani, hili la kupikiwa na kupakuliwa nyumbani kwa Wema ndio limezidi kuchochea hisia kuwa wawili hao wanamahusiano zaidi ya USHKAJI.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram mwanadada Wema ambae na folloers zaidi ya laki nne , alibandika picha hiyo hapo juu akionekana kumpakulia chakula ambacho alijisifia ni kizuri na amekipika mwenyewe na kumtania Ommy kuwa alikuwa analeta pozi kwenye kula.

Mwanamuziki Snura Ajifungua Mtoto wa Kiume Kwa Siri, Adaiwa Kumficha Watu Wasijue

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiCXwwj6L4funK7Y1EClsPrAEx7iK2D54Kbw5-0X95mGoGxqRzD81vz2uuH3zAYU1h9LDp_JpHm_xC3vuIeWyvqjU6YS0Ck28KyCvoPLyZGUSad2VDBA5kVa6qv4flnxPWqQWbZucHBTKw/s1600/IMG00315-20120226-1147.jpg 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
MSANII nyota wa miondoko ya Mduara, Snura Mushi aliyekuwa kimya kwa muda mrefu kufuatia kuwa na ujauzito, amerejea jijini Dar akitokea Mbeya alikojifungua mtoto wa kiume, lakini kukiwa na madai kwamba anamficha mwanaye asionekane kwa watu.