TAARIFA KAMILI KUHUSU HOUSEBOY ALIYEMPASUA KICHWA MTOTO WA DARASA LA 3 KISHA KULA UBONGO WAKE

Asubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa za mfanyakazi wa ndani wa kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo wake kuamua kuutafuna.

Baada ya kumaliza tukio hilo kilichofuata ni yeye kuukata uume  wake.

Hapa utawasikiliza mashuhuda wa tukio hili pamoja na kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro  wakiliongelea  tukio  hilo  la  kusikitisha.

Bonyeza play kusikiliza.( Audio kwa hisani ya Heka heka )




BONYEZA  HAPA  KUONA PICHA YA 1 

BONYEZA  HAPA  KUONA PICHA YA 2

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »