
Sijui ni akili au matope!! Huyu jamaa na demu wake walianza kufanya mapenzi wakiwa kwenye gari na baadae kutoka nje na kuendelea na kitendo chao hicho cha kuibanjua amri ya sita. Najiuliza, walishindwa kufanyia humo ndani mpaka wakaamua kutoka nje na kuwaonyesha watu. Au ndani hamna mzuka???