HUYU NDIYE MTU AMBAE HAJAWAI KUOGA KWA MDA WA MIAKA 60















1

Raia wa iran ambaye anaumri wa miaka 80 yasemekana hajawai kuoga miaka 60 tokea aache alivyo kuwa kijana.muonekano wake ni kama mtu alieugua ugonjwa wa ngozi kwani  hata ukimwangalia unawezakudhani anamatatizo ya ngozi kutokana na muonekano wake na harufu anayoitoa.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »