TAZAMA PICHA NYINGINE 7 ZA BUS LA YANGA LILILOPATA AJALI ASUBUHI YA LEO...!!

IMG-20140316-WA0009
Taarifa ambazo zimethibitishwa na tovuti ya Yanga kuhusu kunusurika ajali bus walilokuwa wakisafiria kutoka Morogoro kurudi Dar ambapo ni Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo la Mikese Mizani baada ya Mabasi yaliyokuwa yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro.
 IMG-20140316-WA0007
Katika ajali hiyo iliyotokea majira ya saa tatu na nusu asubuhi hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa na kwa sasa timu inaondoka na usafiri wa bus jingine kuelekea jijini Dar es salaam
IMG-20140316-WA0006

IMG-20140316-WA0004

IMG_53818087649571

IMG-20140316-WA0007

IMG-20140316-WA0008

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »