LORI LALIPUKA MIKUMI MKOANI MOROGORO chombezozetu 4:25 PM matukio chombezozetu Lori lililokuwa limebeba mapipa ya lami likiteketea kwa moto baada ya kulipukoa mapema leo asubuhi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro. Chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika. Share this Related Posts