Hii ndiyo Sababu Kuu za Wanawake Wengi Kuvaa Nguo fupi ...mwiko watoto kuingia hapa.


Wakati mwingne wanaume au watu tofauti 
hudhani kwamba, wanawake wanaovaa 
nusu uchi huwa wanafanya hivyo kwa 
sababuya kutafuta soko kwa wanaume. 
Inawezekana kukawa na wale ambao wana 
sababu hizo, lakini wapo wale ambao 
wanalipa fidia kutokana na kuamini kwao 
kwamba wanamapungufu kwa mfano sura 
zao zimewaangusha, hivyo miguu yao 
mizuri inabidi kuziba pengo au udhaifu 
huo. 
Wakati mwingine hata wanawake 
wanaodhani au kudhaniwa kuwa niwazuri, 
wamekuwa wakivaa nguo fupi 
zinazoonyesha maungo yao.Hawa nao ni 
lazima wanalipa fidia ya kasoro fulani 
waliyo nayo. 
Inawezekana wameshindwa kulinda ndoa 
zao, au inawezekana hawajaolewa na sasa 
wanataka kuonyesha kwamba, pamoja na 
kutoolewa kwao, bado wao wana sura na 
miguu au miili mizuri. 
Udhaifu wowote ambao unamkera 
mwanamke iwe ni wa moja kwa moja au 
kupitia nyuma ya ubongo wake, unaweza 
kuonyeshwa kwa mwanamke huyo 
kuyatangaza yalemaeneo ya mwili wake 
ambayo anaamini ni mazuri. 
Kuyatangaza huko humpa ahueni kwa 
kuamini kwamba bado anayo thamani, 
kwani ataangaliwa sana na wanaume, 
kusifiwa na pengine kutongozwa. 
Hebu angalia wanawake ambao wanavaa 
nguo za kubana huku wakiwa na makalio 
makubwa... 
Hawa mara nyingi wana sura ambazo wao 
au wengi huamini kwamba ni mbaya. 
Huvaa nguo hizi ili kuonyesha kwamba, 
pamoja na ubaya wa sura zao, bado wao ni 
wazuri sana katika maeneo mengine ya 
mwili ambayo wanaume na hata 
wanawake wengi huyapenda au kutamani 
kuwa nayo. 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »